TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

KUTOKA MAHAKAMANI WILAYA YA KAHAMA – SHINYANGA

KUTOKA MAHAKAMANI WILAYA YA KAHAMA

Januari 13, 2023 imefunguliwa Kesi ya Uhujumu Uchumi ECO. NO. 1/2023 Katika Mahakama ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kahama Mhe. Edmund Kente.

Washitakiwa ni Bw. MICHAEL AUGUSTINO MATOMOLA, aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Ushetu ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Iramba na wenzake sita.

Kesi hiyo inaendeshwa na Waendesha Mashtaka wa TAKUKURU, SIMON MASHINGIA na JANE MBUGE, ambao waliwasomea hoja za awali za mashtaka ya kuisababishia hasara Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu ya kiasi cha sh. 138,276,250/- katika ya kipindi cha mwaka 2019.

Makosa haya yanadaiwa kutendeka wakati washtakiwa walipokuwa watumishi wa Halmashauri ya Ushetu.

Washtakiwa wamekana mashitaka na wameshindwa kutimiza masharti ya dhamana hivyo wamepelekwa mahabusu.

Kesi imeahirishwa hadi Januari 17, 2023 itakapokuja kwa ajili ya kusoma hoja za awali.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAKUKURU KAGERA YAFUATILIA UTEKLEZAJI WA MIRADI 93 YA ZAIDI YA SH.BILIONI 15

TAKUKURU KAGERA YAFUATILIA UTEKLEZAJI WA MIRADI 93 YA ZAIDI YA SH.BILIONI 15

APNAC IENDELEE KUWA MSTARI WA MBELE KUKEMEA VITENDO VYA RUSHWA

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

KUTOKA MAHAKAMANI TANGA.

ZIARA YA DDG IKUNGI SINGIDA

ZIARA YA DDG IKUNGI SINGIDA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

3651
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU