SHULE YA  MSINGI BUTIMBA NYAMAGANA MWANZA WAELIMISHWA

Vijana wanaotaraji kuingia darasa la saba Mwaka 2023  watakiwa kusoma kwa bidii na kuepuka vitendo vya rushwa kwenye mitihani. Nao  kwa pamoja wameahidi  kuwa mabalozi katika kuelemisha wenzao na  kutoa  taarifa za vitendo vya rushwa TAKUKURU. TAKUKURU Mwanza, DISEMBA 29, 2022. 

Taarifa kwa Umma