TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

KIKAO KAZI NA WADAU

KIKAO KAZI NA WADAU

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP.   Salum Rashid Hamduni, amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Asasi ya Kiraia ya ‘ANTI CORRUPTION VOICES FOUNDATION’ – TAKUKURU Makao Makuu Dodoma. Mazungumzo hayo yalilenga kuitambua Asasi hiyo na kupongeza jitihada wanazozifanya za kushirikiana na Serikali katika KUZUIA RUSHWA kupitia Kampeni yao iitwayo: BADILI TABIA; SEPESHA RUSHWA. Kwa upande wake, Katibu Mtendaji wa Anti Corruption Voices Foundation Bw. Dominick Kubenga (kulia kwa Mkurugenzi Mkuu) amesema, wao ni zao linalotokana na  Klabu za Wapinga Rushwa zilizoanzishwa na TAKUKURU mashuleni na vyuoni,  ambako wao walikuwa wanachama. Amesema Asasi yao itaendelea kueneza elimu dhidi ya rushwa kwani wanatambua kuwa jukumu la kuzuia RUSHWA ni la kila Mtanzania. Katika hatua nyingine, Anti Corruption Voices Foundation wamemkabidhi Mkurugenzi Mkuu fulana kwa ajili ya kushiriki katika mbio za ‘SEPESHA RUSHWA MARATHON’ zitakazofanyika jijini Dodoma Disemba 11, 2022.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

RC SINGIDA AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU

RC SINGIDA AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU

AAACA AGM 2022 BUJUMBURA

AAACA AGM 2022 BUJUMBURA

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

3556
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU