TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

AG DG AFUNGUA MAFUNZO YA PETS

AG DG AFUNGUA MAFUNZO YA PETS

Kaimu Mkurungezi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye amefungua mafunzo ya ufuatiliaji wa rasilimali za umma kwa watumishi wa TAKUKURU kutoka mikoa yote Novemba 25, 2022, jijini Dodoma. Akifungua mafunzo, amewataka wanamafunzo hao kujifunza kwa weledi ili kwenda kusimamia vema miradi iliyopo katika maeneo yao na hatimaye thamani halisi ya fedha iweze kupatikana katika kila mradi. Pia amesisitiza uandaaji bora wa taarifa za miradi “…Tunataka baada ya mafunzo haya taarifa zitakazo andikwa baada ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ziwe zenye tija na zenye kueleza mapungufu yaliyobainika pamoja na changamoto zilizojitokeza wakati wa ufuatiliaji wa miradi”. Kwa sasa Serikali inatoa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo hivyo Taasisi ina wajibu wa kuhakikisha thamani ya fedha katika miradi hiyo inakuwepo hasa kwa kuzingatia kauli mbiu yetu inayosema: “Kuzuia rushwa ni jukumu lako na langu; Tutimize wajibu wetu”.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

UANGALIZI WA UCHAGUZI 2024 – MSUMBIJI

UANGALIZI WA UCHAGUZI 2024 – MSUMBIJI

KUTOKA MAHAKAMANI SAME – KILIMANJARO.

MSHAURI WA WAFANYABIASHARA (TCCIA ) – MANYARA HATIANI KWA KUGHUSHI

TAKUKURU SONGWE YAFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO 13 YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 4.8

TAKUKURU SONGWE YAFUATILIA MIRADI YA MAENDELEO 13 YENYE THAMANI YA SH. BILIONI 4.8

MHASIBU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI MBARONI KWA UBADHIRIFU

MHASIBU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI MBARONI KWA UBADHIRIFU

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
1 Mtaa wa TAKUKURU,
S. L. P 1291
41101 DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332