TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

AG DG AFUNGUA MAFUNZO YA PETS

AG DG AFUNGUA MAFUNZO YA PETS

Kaimu Mkurungezi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye amefungua mafunzo ya ufuatiliaji wa rasilimali za umma kwa watumishi wa TAKUKURU kutoka mikoa yote Novemba 25, 2022, jijini Dodoma. Akifungua mafunzo, amewataka wanamafunzo hao kujifunza kwa weledi ili kwenda kusimamia vema miradi iliyopo katika maeneo yao na hatimaye thamani halisi ya fedha iweze kupatikana katika kila mradi. Pia amesisitiza uandaaji bora wa taarifa za miradi “…Tunataka baada ya mafunzo haya taarifa zitakazo andikwa baada ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ziwe zenye tija na zenye kueleza mapungufu yaliyobainika pamoja na changamoto zilizojitokeza wakati wa ufuatiliaji wa miradi”. Kwa sasa Serikali inatoa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo hivyo Taasisi ina wajibu wa kuhakikisha thamani ya fedha katika miradi hiyo inakuwepo hasa kwa kuzingatia kauli mbiu yetu inayosema: “Kuzuia rushwa ni jukumu lako na langu; Tutimize wajibu wetu”.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MIRADI YA UVIKO 19 YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 5 YAFUATILIWA NA TAKUKURU RUVUMA

MIRADI YA UVIKO 19 YA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 5 YAFUATILIWA NA TAKUKURU RUVUMA

KIKAO KAZI – DODOMA

KIKAO KAZI – DODOMA

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2770
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU