TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

ZIARA YA DDG IKUNGI SINGIDA

ZIARA YA DDG IKUNGI SINGIDA


Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye, akiwa mkoani Singida kikazi, ametembelea Wilaya ya Ikungi mkoani humo na kufuatilia utekelezaji wa Mradi wa Maendeleo ya Ujenzi wa Chuo cha Ufundi VETA, kilichopo wilayani Ikungi. Pamoja na mambo mengine, Naibu Mkurugenzi Mkuu alipata fursa ya kutembelea Majengo 17 ambayo yalikuwa na changamoto mbalimbali za utekelezaji lakini TAKUKURU Wilaya ya Ikungi ilipoingilia kati, mradi huo umeonesha mafanikio na thamani ya fedha zilizotumika imeonekana. Chuo hicho kwa sasa kimeshakamilika na kinatarajiwa kupokea wanafunzi kuanzia Januari 2023. Naibu Mkurugenzi Mkuu ameipongeza Kamati ya Usalama ya Ikungi kwa ushirikiano wao kwa TAKUKURU jambo ambalo lilielezwa na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe. Jerry Muro kwamba umepelekea Wilaya ya Ikungi kutekeleza miradi yake kwa ufanisi mkubwa.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMANI KINONDONI

KUTOKA MAHAKAMANI KIBITI – PWANI

TAKUKURU, ZAECA na TSA WASAINI MoU YA USHIRIKIANO KIKAZI

TAKUKURU, ZAECA na TSA WASAINI MoU YA USHIRIKIANO KIKAZI

KUTOKA MAHAKAMANI SAME KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMANI ROMBO KILIMANJARO

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1865
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU