TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

ZIARA YA MAFUNZO – KIGALI RWANDA

ZIARA YA MAFUNZO – KIGALI RWANDA

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni, yuko nchini Rwanda kwa Ziara ya Mafunzo ya kubadilishana uzoefu katika masuala ya KUZUIA RUSHWA. Katika ziara hiyo iliyoanza Oktoba 16, 2022, Mkurugenzi Mkuu ameongozana na Mkurugenzi wa Uzuiaji Rushwa Bi. Sabina Seja pamoja na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma Bw. Joseph Mwaiswelo. Hapa ni viongozi hao wakiwa katika ofisi za OMBUDSMAN zinazohusika na mapambano dhidi ya Rushwa nchini humo. Pichani juu kulia ni Mkurugenzi Mkuu akikabidhi ‘souvenirs’ kwa Chief Ombudsman Ms. Madeleine Nirere, alipotembelea ofisi za Ombudsman Oktoba 18, 2022

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO

TAKUKURU YAFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA

TAKUKURU YAFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2308
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU