TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

RC SINGIDA AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU

RC SINGIDA AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Peter Serukamba amekutana na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyelye na kujadili mambo kadhaa yakiwemo yanayohusu kuzuia vitendo vya Rushwa katika miradi ya maendeleo na shughuli za kijamii.

Akiwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa, Naibu Mkurugenzi Mkuu amesema pamoja na mambo mengine, lengo la ziara yake ni kutembelea Mradi wa ujenzi wa Chuo cha Ufundi VETA ulioko Wilaya Ikungi.

‘Ki msingi hapa tunatekeleza agizo la Mhe. Rais linalotutaka tujikite zaidi katika Kuzuia upotevu na ufujaji wa fedha kabla fedha haijapotea. Kama tukiweza kuyaepuka hayo tija itakuwa kubwa.” Amesema Mwakalyelye.

Aidha, amesema TAKUKURU imeendelea kujikita katika uzuiaji wa rushwa za aina zote kwa lengo la kuondoa ubadhirifu na upotevu wa fedha za Serikali.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LINDI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LINDI

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

KUTOKA MAHAKAMANI TABORA

Mkutano

Mkutano

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

91
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU