TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

WARSHA YA WADAU KUJADILI NA KUPATA MAONI KUHUSU MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA SHERIA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NA. 11/2007

WARSHA  YA WADAU KUJADILI NA KUPATA MAONI KUHUSU MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA  SHERIA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NA. 11/2007
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni,amewataka 
wadau kutoka Serikalini, Taasisi binafsi pamoja na asasi za 
kiraia, kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni na mapendekezo 
ya maboresho ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Na.11 
ya mwaka 2007 inayotumika sasa, ili kuwa na Sheria inayoendana 
na kasi ya mabadiliko ya teknolojia pamoja na kuendelea kuijengea
uwezo TAKUKURU. CP.Hamduni ameyasema hayo Septemba 22, 2022 
alipokuwa akifungua warsha ya siku mbili ya wadau ya kujadili 
na kutoa maoni na mapendekezo ya marekebisho ya sheria ya 
kuzuia na kupambana na rushwa Na. 11 ya mwaka 2007 inayofanyika 
jijini Dodoma.
ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

UKAGUZI WA UJENZI WA OFISI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MOMBA MKOA WA SONGWE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MBOZI – SONGWE

PCCB Strategic Plan 2022/23-2025/26

SITA WAHUKUMIWA KWA RUSHWA KONDOA – DODOMA

WATATU WAHUKUMIWA KWA RUSHWA KONDOA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

168
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2023 TAKUKURU