TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

TAKUKURU imefanya Semina kwa Wabunge Wanachama wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika – Tawi la Tanzania (African Parliamentarian Network Against Corruption – APNAC – Tanzania Chapter). Semina hii imefanyika Septemba 16, 2022 jijini Dodoma kwa lengo la kujengeana uwezo katika mapambano dhidi ya rushwa.

Semina hii ilifunguliwa rasmi na Mhe.  Deogratius Ndejembi (MB), Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, ambapo ujumbe wa Wabunge 37 wa APNAC uliongozwa na Mhe. Cecilia Paresso (MB), Makamu Mwenyekiti wa APNAC.

Akitoa maelezo ya utangulizi CP. Salum Rashid Hamduni, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU amemshukuru Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tulia Ackson (MB) pamoja na Waheshimiwa Wabunge – Wanachama wa APNAC kwakuwa wamekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha Wabunge wengine kushiriki kwenye mapambano dhidi ya rushwa hapa nchini kupitia warsha, makongamano pamoja na semina ambazo zimekuwa zikifanyika.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU ZANZIBAR.

MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU ZANZIBAR.

ARUSHA: UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAONGEZA UBORA KATIKA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 11.2

ARUSHA: UFUATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO WAONGEZA UBORA KATIKA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 11.2

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

TAKUKURU KAGERA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI 48 YA ZAIDI YA SH. BILIONI 16

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

3654
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU