TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

TAKUKURU imefanya Semina kwa Wabunge Wanachama wa Mtandao wa Wabunge wa Kupambana na Rushwa Afrika – Tawi la Tanzania (African Parliamentarian Network Against Corruption – APNAC – Tanzania Chapter). Semina hii imefanyika Septemba 16, 2022 jijini Dodoma kwa lengo la kujengeana uwezo katika mapambano dhidi ya rushwa.

Semina hii ilifunguliwa rasmi na Mhe.  Deogratius Ndejembi (MB), Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, ambapo ujumbe wa Wabunge 37 wa APNAC uliongozwa na Mhe. Cecilia Paresso (MB), Makamu Mwenyekiti wa APNAC.

Akitoa maelezo ya utangulizi CP. Salum Rashid Hamduni, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU amemshukuru Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Tulia Ackson (MB) pamoja na Waheshimiwa Wabunge – Wanachama wa APNAC kwakuwa wamekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha Wabunge wengine kushiriki kwenye mapambano dhidi ya rushwa hapa nchini kupitia warsha, makongamano pamoja na semina ambazo zimekuwa zikifanyika.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

KUTOKA MAHAKAMANI TAKUKURU ILALA:

KUTOKA MAHAKAMANI NACHINGWEA LINDI

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

1759
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU