MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

Mafunzo ya awali ya uchunguzi kwa waajiriwa wapya 553 wa TAKUKURU yamehitimishwa leo Septemba 19, 2022.

Mafunzo haya yaliyokuwa yakifanyika Shule ya Polisi Tanzania – Moshi yamehitimishwa rasmi na Mhe. Deogratius Ndejembi – Naibu Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Taarifa kwa Umma