TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

KIKAO KAZI CHA KUJADILI MATOKEO YA UCHAMBUZI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU

KIKAO KAZI CHA KUJADILI MATOKEO YA UCHAMBUZI WA MFUMO WA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MAENDELEO YA MPIRA WA MIGUU

“…Ustawi wa maendeleo ya mpira wa miguu hapa nchini hauwezi kufanikiwa bila kuhakikisha tunadhibiti uwepo wa mianya au vitendo vya rushwa katika sekta ya michezo…” CP. Salum Rashid Hamduni, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU amesema hayo wakati akifungua kikao kazi kilichojadili taarifa ya uchambuzi wa mfumo wa usimamizi wa fedha za maendeleo ya mpira wa miguu na kuweka mikakati ya kudhibiti mianya iliyobainishwa. Kikao hiki kimefanyika Hoteli ya Rafiki, Dodoma na washiriki walitoka TAKUKURU, TFF, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo; Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Baraza la Michezo Tanzania pamoja na TRA, Septemba 15, 2022.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LIWALE

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA LIWALE

UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU KITAIFA – DODOMA

UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU KITAIFA – DODOMA

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI WA TAKUKURU KWA MWAKA 2021/2022 YAWASILISHWA KWA MHE.RAIS

TAARIFA YA UTENDAJI KAZI WA TAKUKURU KWA MWAKA 2021/2022 YAWASILISHWA KWA MHE.RAIS

MAANDALIZI YA NACSAP IV

MAANDALIZI YA NACSAP IV

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

274
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU