TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

MKUTANO WA VIONGOZI NA WATAALAM WA NCHI WANACHAMA WA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA WA KUPAMBANA NA RUSHWA – 2022

MKUTANO WA VIONGOZI NA WATAALAM WA NCHI WANACHAMA WA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA WA KUPAMBANA NA RUSHWA – 2022

CP. Salum Hamduni – Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Viongozi wa nchi wanachama wa utekelezaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Rushwa (Intersessional Meeting of the Conference of State Parties to the UNCAC on the achievements of the political declaration adopted by the special session of the General Assembly –UNGASS).

Mkutano huu wa siku nne ulianza Septemba 5 hadi tarehe 8, 2022, katika Ukumbi wa Mikutano wa Umoja wa Mataifa jijini Vienna, Austria ambapo ajenda kuu ni kuhusu utekelezaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Rushwa. Kupitia mkutano huu, kila nchi mwanachama ikiwemo Tanzania ilitakiwa kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji kwa maeneo yafuatayo: –

  • Preventive Measures
  • Criminalization and Law information
  • International Cooperation
  • Asset Recovery
  • Technical Assistance and information exchange
  • Anti – Corruption as an enabler of 2030 Sustainable Development
  • Advancing way forward of anti-corruption agenda

Katika mkutano huu, Mkurugenzi Mkuu aliongozana na Wataalam wa utekelezaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa (UNCAC Governmental Experts) kutoka TAKUKURU, FIU pamoja na Ofisi ya Rais Ikulu – Idara ya Uratibu wa Utawala Bora na Maboresho (GGCR).

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

DG PCCB

MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU CP. SALUM RASHID HAMDUNI

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

BALOZI WA PALESTINA ATEMBELEA TAKUKURU

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA MISSENYI MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMANI ILALA

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA TANGANYIKA MKOA WA KATAVI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA TANGANYIKA MKOA WA KATAVI

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

136
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU