TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

MKUTANO WA 44 WA ESAAMLG – ZAMBIA

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye, ameongoza ujumbe wa Maafisa Waandamizi wa TAKUKURU wanaoshiriki Mkutano wa 44 wa ‘The Eastern and Southern Africa Anti-Money Laundering Group (ESAAMLG), unaofanyika nchini Zambia. Mkutano huu unaohusu masuala ya Udhibiti wa Fedha Haramu Kusini mwa Jangwa la Sahara unahudhuriwa pia na Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU), Mkurugenzi wa Mashtaka pamoja na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya. Aidha, Mkutano huu utafuatiwa na Mkutano wa 22 wa Baraza la Mawaziri wa ESAAMLG na Kikao cha 5 cha Mazungumzo kati ya Sekta za Umma na Sekta Binafsi lengo likiwa ni kujadili masuala ya udhibiti wa fedha haramu. Mkutano huu umeanza Agosti 28, 2022 na utahitimishwa Septemba 3, 2022. Washiriki wengine kutoka TAKUKURU ni Bw. Donassian Kessy ambaye ni Focol Person wa ESAAMLG na Bi. Lilian William ambaye ni Rais wa ARINEA.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

APNAC IENDELEE KUWA MSTARI WA MBELE KUKEMEA VITENDO VYA RUSHWA

ZIARA YA MAFUNZO – KIGALI RWANDA

ZIARA YA MAFUNZO – KIGALI RWANDA

WARSHA  YA WADAU KUJADILI NA KUPATA MAONI KUHUSU MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA  SHERIA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NA. 11/2007

WARSHA YA WADAU KUJADILI NA KUPATA MAONI KUHUSU MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA SHERIA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NA. 11/2007

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AHOJIWA NA TBC KWENYE UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AHOJIWA NA TBC KWENYE UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

3585
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU