TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

WAZIRI MHAGAMA AHITIMISHA MAFUNZO

WAZIRI MHAGAMA AHITIMISHA MAFUNZO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama, amehitimisha Mafunzo ya Kati ya Uchunguzi kwa maafisa 99 wa TAKUKURU waliohitimu mafunzo hayo Agosti 19, 2022. Akizungumza katika hafla ya kuhitimisha mafunzo iliyofanyika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere Kibaha mkoani Pwani na kuhudhuriwa na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni, Waziri Mhagama ameilekeza TAKUKURU kuhakikisha inakuwa na mikakati ya kujenga mazingira ya KUZUIA RUSHWA na kuifanya kuwa shirikishi na karibu zaidi na wananchi. Amesema kwa kufanya hivyo, TAKUKURU itaweza kupokea taarifa nyingi zaidi za uwepo wa viashiria vya rushwa kabla haijatokea.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

APNAC IENDELEE KUWA MSTARI WA MBELE KUKEMEA VITENDO VYA RUSHWA

TAKUKURU DODOMA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTEMBELEA WAHITAJI

TAKUKURU DODOMA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTEMBELEA WAHITAJI

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

TAKUKURU KAGERA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI 48 YA ZAIDI YA SH. BILIONI 16

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

702
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU