TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari Maalum

WARSHA – UCHIMBAJI MADINI

WARSHA – UCHIMBAJI MADINI
Download

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi. Neema Mwakalyeye, amewataka wadau wanaohusika na uchimbaji madini kuhakikisha kuwa uchimbaji wa madini unapofanyika unahifadhi mazingira. Amesema uwepo wa nchi na ustawi wa wananchi wake unategemea sana uwepo wa mazingira, hivyo ni jukumu la kila mdau husika, kuhakikisha kuwa uchimbaji unapofanyika na kubadili asili, unafanyika kwa kuhifadhi mazingira. Naibu Mkurugenzi Mkuu ametoa maelekezo hayo Agosti 18, 2022 jijini Dodoma, alipokuwa akifungua Warsha ya siku moja ya kupokea na kujadili Taarifa ya TAKUKURU ya Uchambuzi wa Mfumo wa Usimamizi na Utunzaji wa Mazingira katika Uchimbaji wa Madini nchini. Warsha hiyo iliwashirikisha wadau kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira; Wizara ya Madini; Wizara ya Maji; Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali; Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira; Wawakilishi kutoka Mgodi wa Mwadui – Shinyanga pamoja na TAKUKURU.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

VIGOGO WAWILI TALGWU NA DEREVA WASHTAKIWA KWA RUSHWA – ILALA

VIGOGO WAWILI TALGWU NA DEREVA WASHTAKIWA KWA RUSHWA – ILALA

Mkurugenzi Mkuu akivalishwa Scarf na Wanachama wa Scout Wilayani Kiteto.

Mkurugenzi Mkuu akivalishwa Scarf na Wanachama wa Scout Wilayani Kiteto.

DODOMA  OKT – DES, 2022

KAGERA OKT – DES, 2022

MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU ATEMBELEA OFISI YA TAKUKURU MKOA WA MANYARA

MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU ATEMBELEA OFISI YA TAKUKURU MKOA WA MANYARA

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

585
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU