TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

ZIARA YA KIKAZI CHAMWINO DODOMA

ZIARA YA KIKAZI CHAMWINO DODOMA

Juni 29.06.2022, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni, amefanya ziara ya kikazi ya kutembelea Ujenzi wa Uzio wa Ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Chamwino mkoani DODOMA. Pamoja na mambo mengine, Mkurugenzi Mkuu pia amefanya Kikao Kazi na kuzungumza na watumishi wa ofisi hiyo. Pamoja na Mkurugenzi Mkuu, katika ziara hiyo alikuwepo Mkurugenzi wa Usimamizi wa Miliki TAKUKURU Mha. Dkt. Emmanuel Kiyabo (aliyeketi katikati kulia picha ya juu); Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma Bw. Sosthenes Kibwengo – aliyeketi kulia kwa Mha. Dkt. Kiyabo pamoja na Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Chamwino Bi. Sipha aliyeketi kushoto kwa Mha. Dkt. Kiyabo.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

USHIRIKIANO NA WADAU

USHIRIKIANO NA WADAU

UZINDUZI WA MWONGOZO WA KUFUNDISHA SKAUTI

UZINDUZI WA MWONGOZO WA KUFUNDISHA SKAUTI

APNAC IENDELEE KUWA MSTARI WA MBELE KUKEMEA VITENDO VYA RUSHWA

MAHUSIANO NA USHIRIKIANO

MAHUSIANO NA USHIRIKIANO

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2374
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU