TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

“Ni matarajio yangu kuwa mafunzo haya mtakayoyapata yatakwenda kuleta mabadiliko chanya katika utendaji kazi wenu na kwa watu mtakao wahudumia”. Hayo yamesemwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye Juni 27, 2022, wakati akifungua mafunzo ya “Intermediate Investigation Course” yanayofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwl. Julius Nyerere – Kibaha, Pwani. Pichani juu waliosimama ni baadhi ya watumishi wa TAKUKURU wanaoshiriki mafunzo hayo na waliokaa ni Viongozi wa TAKUKURU akiwemo Naibu Mkurugenzi Mkuu aliyeketi katikati. Wengine ni Mkuu wa Shule ya Uongozi Prof. Marcelino Chijoriga (wa pili kulia) na kushoto kwake ni Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Pwani Bw. Christopher Myava. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu TAKUKURU Bw. Ayoub Akida na kulia kwake ni Mratibu wa mafunzo kutoka TAKUKURU Bw. Benjamin Kapera.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

APNAC IENDELEE KUWA MSTARI WA MBELE KUKEMEA VITENDO VYA RUSHWA

RC SINGIDA AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU

RC SINGIDA AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU

WAWILI WAHUKUMIWA KWA KUTOA RUSHWA LAKI NANE KWA ASKARI POLISI

WAWILI WAHUKUMIWA KWA KUTOA RUSHWA LAKI NANE KWA ASKARI POLISI

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

WARSHA YA WADAU KUJADILI RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAKUKURU 2022- 2026

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

3524
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU