TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI – (AAACA) 2022.

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI  – (AAACA) 2022.

Juni 22, 2022, wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 5 wa Viongozi wa Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Afrika – Africa Association of Anti Corruption Authorities- AAACA, pamoja na mambo mengine wamefanya uchaguzi wa wajumbe wa Kamati Tendaji (Executive Committee) ya AAACA. Kupitia uchaguzi huo, Tanzania kupitia TAKUKURU imefanikiwa kuchaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. Pichani ni viongozi wawakilishi wa Kamati hiyo akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Radhid Hamduni, wa pili kutoka kushoto. Wajumbe wengine ni kutoka Congo Brazavile, Algeria, Zimbabwe na Siera Leone. Mkutano huu unafanyika Bujumbura – Burundi.

Pia wamemchagua Rais kutoka Misri, Makamu wa Kwanza wa Rais kutoka Mali na Makamu wa Pili wa Rais kutoka Cameroon.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KUTOKA MAHAKAMA YA WILAYA YA MULEBA MKOANI KAGERA.

KIKAO CHA USHIRIKIANO TAKUKURU NA TAHLISO

KIKAO CHA USHIRIKIANO TAKUKURU NA TAHLISO

UNTOC MEETING 2024 – VIENNA

UNTOC MEETING 2024 – VIENNA

TAKUKURU RUKWA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI SABA

TAKUKURU RUKWA YAFUATILIA UTEKELEZAJI WA MIRADI SABA

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
1 Mtaa wa TAKUKURU,
S. L. P 1291
41101 DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

0
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2024 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2024 TAKUKURU