TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI – (AAACA) 2022.

TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KAMATI TENDAJI  – (AAACA) 2022.

Juni 22, 2022, wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 5 wa Viongozi wa Shirikisho la Mamlaka za Kupambana na Rushwa Afrika – Africa Association of Anti Corruption Authorities- AAACA, pamoja na mambo mengine wamefanya uchaguzi wa wajumbe wa Kamati Tendaji (Executive Committee) ya AAACA. Kupitia uchaguzi huo, Tanzania kupitia TAKUKURU imefanikiwa kuchaguliwa kwa mara nyingine tena kuwa Mjumbe wa Kamati hiyo. Pichani ni viongozi wawakilishi wa Kamati hiyo akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Radhid Hamduni, wa pili kutoka kushoto. Wajumbe wengine ni kutoka Congo Brazavile, Algeria, Zimbabwe na Siera Leone. Mkutano huu unafanyika Bujumbura – Burundi.

Pia wamemchagua Rais kutoka Misri, Makamu wa Kwanza wa Rais kutoka Mali na Makamu wa Pili wa Rais kutoka Cameroon.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AHOJIWA NA TBC KWENYE UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU

NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU AHOJIWA NA TBC KWENYE UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU

WARSHA  YA WADAU KUJADILI NA KUPATA MAONI KUHUSU MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA  SHERIA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NA. 11/2007

WARSHA YA WADAU KUJADILI NA KUPATA MAONI KUHUSU MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA SHERIA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NA. 11/2007

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2562
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU