ZIARA YA UTAMBULISHO

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni, akiwa na Mhe. Dkt. Jilly Elibariki Maleko, Balozi wa Tanzania Nchini Burundi. Mkurugenzi Mkuu alifika katika ofisi za Ubalozi huo zilizopo Bujumbura – Burundi Juni 21, 2022 kwa lengo la kujitambulisha.