TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • E-Huduma
  • BLOG
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Habari

CYBER FORENSIC TRAINING

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Neema Mwakalyelye Juni 20, 2022, amefungua mafunzo kuhusu ‘Cyber Forensic’, yanayofanyika Jijini Dodoma kwa ufadhili wa SADC Anti- Corruption Committee (SACC).

Kupitia mafunzo haya yatakayofanyika kwa wiki moja hadi Juni 24, 2022, watumishi 25 wa TAKUKURU wamepata fursa ya kushiriki ambapo wawezeshaji wa mafunzo ni kutoka TAKUKURU (Bw. Charles Makindi) na kutoka Taasisi ya kuzuia rushwa Botswana – DCEC (Ms. Virginia Sekgwthe).

Akifungua mafunzo haya, Kaimu Mkurugenzi Mkuu ameshukuru kwa  ushirikiano uliopo kati ya TAKUKURU na SACC ikiwa ni pamoja na kutoa pongezi kwa utaratibu wa mafunzo uliotumiwa na SADC katika kuyaendesha mafunzo haya. Amesema utaratibu wa kufanya mafunzo haya Tanzania na kuwa moja kati ya nchi 5 zilizochaguliwa kati ya nchi wanachama, umewezesha maafisa wengi wa TAKUKURU kuhudhuria mafunzo haya. Amewataka watumishi wa TAKUKURU waliopata fursa hii waitumie ipasavyo kwa manufaa yao na ya Taasisi kwa ujumla.

ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

HIGH LEVEL CONFERENCE ON THE FIGHT AGAINST CORRUPTION IN AFRICA – BAMAKO MALI

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

KUTOKA MAHAKAMANI DODOMA

KIKAO KAZI – DODOMA

KIKAO KAZI – DODOMA

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VIONGOZI WA TAKUKURU

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VIONGOZI WA TAKUKURU

Habari Motomoto

  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA “INTERMEDIATE INVESTIGATION COURSE” YAFUNGULIWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KIKAO CHA USHIRIKIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
S. L. P 1291
41101 Mtaa wa Jamhuri,
DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

2643
Visitors Today

© 2022 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

© 2022 TAKUKURU