TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

Machi 30, 2022, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU CP. Salum Rashid Hamduni, alikabidhi TAARIFA YA UTENDAJI KAZI WA TAKUKURU KWA MWAKA 2020/21 kwa Mhe. Rais.

Taarifa iliyowasilishwa imegawanyika katika maeneo makuu manne (4) yafuatayo:-

  • Uzuiaji Rushwa;
  • Uelimishaji Umma;
  • Uchunguzi na Huduma za Sheria;
  • Ushirikiano na Wadau katika Mapambano dhidi ya Rushwa.
Soma Zaidi: TAARIFA YA UTENDAJI KAZI 2020/2021

Taarifa kwa Umma

WAZABUNI WAWILI HATIANI KWA RUSHWA