Majukumu ya Idara

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), pamoja na mambo mengine, ina jukumu la kuzuia rushwa kupitia uimarishaji mifumo. Katika kufikia lengo hili, TAKUKURU hufanya

  • utafiti
  • uchambuzi wa mifumo
  • ufuatiliaji wa matumizi wa rasilimali za umma (PETS)
  • kuwakutanisha wadau kwa ajili ya kuweka mikakati ya kutekeleza mapendekezo ya TAKUKURU ya kudhibiti rushwa
  • kufuatilia utekelezaji wa mikakati hiyo