TAKUKURU
No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
Taarifa kwa Umma
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • Huduma
    • E-Huduma
    • E-Malalamiko
  • BLOGU
No Result
View All Result
TAKUKURU
No Result
View All Result
Home Uelimishaji

Klabu za wapinga Rushwa

Klabu za wapinga Rushwa

TAKUKURU imekuwa ikiwatumia wadau mbali mbali katika mapambano dhidi ya rushwa kwa kuwa mapambano yanategemea juhudi za wadau mbali mbali. Moja ya wadau ambao wanatumiwa na TAKUKURU ni wanafunzi kupitia klabu za wapinga rushwa. Mnamo mwezi Mei, 2007 TAKUKURU ilianzisha kampeni ya kufungua klabu za wapinga rushwa katika shule za sekondari Tanzania Bara ambapo Mkurugenzi Mkuu Dkt. Edward Hoseah alizindua klabu ya wapinga rushwa katika shule ya Sekondari Makongo ikiwa ni ishara ya kuanza rasmi kampeni hii. Zoezi hili liliendelea hata katika vyuo vya elimu ya juu na shule za msingi. Lengo la kuanzisha klabu hizi ni kuwajenga wanafunzi kimaadili kwa kuwafanya watambue madhara ya rushwa ili waichukie katika maisha yao na kuchukua hatua za kuzuia na kupambana nayo hatimaye kujenga jamii ya watu waadilifu.

Miongoni mwa kazi zinazofanywa na klabu ni

  • kuwaelimisha wafunzi wenzao kuhusu rushwa na madhara yake
  • kutoa taarifa za vitendo vya rushwa TAKUKURU
  • kutoa elimu ya rushwa kwa njia ya maigizo, uandishi wa makala, insha, uchoraji wa katuni, midahalo, kuimba nyimbo, kushiriki katika matamasha yanayoandaliwa na TAKUKURU, kushiriki katika shughuli za kijamii kama kutembelea wagonjwa, wazee ama wahitaji mbali mbali, kupanda miti na mengineyo
ShareTweetSendShare

Taarifa kwa Umma

SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA 2023

SIKU YA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA BARANI AFRIKA 2023

MAANDALIZI YA NACSAP IV

MAANDALIZI YA NACSAP IV

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

SEMINA KWA WANACHAMA WA APNAC – TANZANIA

UKAGUZI WA MRADI WA JENGO LA TAKUKURU SIMIYU

UKAGUZI WA MRADI WA JENGO LA TAKUKURU SIMIYU

Habari Motomoto

  • Kuitwa kwenye usaili wa maandishi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • National Governance and Corruption Survey (NGACS) 2020

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuitwa kwenye usaili wa ana kwa ana (Oral Interview)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFUNZO YA AWALI YA UCHUNGUZI YAMEHITIMISHWA RASMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaotafutwa na TAKUKURU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

WASILIANA NASI

MKURUGENZI MKUU
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA
NA RUSHWA
1 Mtaa wa TAKUKURU,
S. L. P 1291
41101 DODOMA, Tanzania
Simu: (026) 2323316
Nukushi: (026) 2323332

WASHIRIKA

ZAECA
EAAACA
IAACA
AAACA
CAACC

WAGENI

0
Visitors Today

Sera ya Faragha
© 2024 TAKUKURU

No Result
View All Result
  • MWANZO
  • KUHUSU SISI
    • SALAMU ZA MKURUGENZI MKUU
    • HISTORIA YA TAASISI
    • MUUNDO WA TAASISI
    • OFISI ZETU
  • UZUIAJI RUSHWA
  • UELIMISHAJI
  • UCHUNGUZI
  • WASHIRIKA
  • MACHAPISHO
  • TAARIFA KWA UMMA
  • BLOG

Sera ya Faragha
© 2024 TAKUKURU